KUANZISHWA KWA KIWANDA CHA KUSAFISHA MADINI CHA GGR KUTACHANGAMSHA UCHUMI WA GEITA-WAZIRI BITEKO.

Imeelezwa kuwa kuanzishwa kwa kiwanda cha Kusafisha Madinicha Mkoani Geita kitaongeza na kuchangamsha uchumi wa mkoana Taifa kwa ujumla wake.Waziri wa Madini Mhe Doto Biteko jana tarehe 8 Mei 2021 wakatiakiweka Jiwe la Msingi katika kiwanda cha kusafisha madini chaGGR akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Geita.Waziri Biteko amesema kuwa kiwanda hicho cha kisasa na